Sonzaschool
Rudi

Sekondari ya Kawaida · Kidato cha Pili

Kiswahili

Mnyambuliko

takriban dakika 1 kusoma

Majadiliano
Mada za sehemu hiiUundaji Wa ManenoMada 3
  1. Mofimu
  2. Uambishaji
  3. Mnyambuliko

Unyambulishaji unatokana na neno "nyambua" ikiwa na maana refusha au vuta kitu. Mnyambuliko ni kitendo cha uvutaji au urefushaji kipashio / vipashio katika mzizi wa neno. Aidha mnyambuliko unahusu upachikaji wa mofimu zinazofuata mzizi wa neno. Mofimu hizi huitwa mofimu fuatishi (viambishi tamati)

Mfano:

  1. Soma - som-e-a
  2. Som-eka
  3. Som-esha
  4. Som-wa
  5. Som-eana
  6. Som-o

Mwalimu

Unasoma somo hili? Niulize nikuelezee chochote kilichomo.

Ingia ili kumuuliza Mwalimu wa AI wa Sonza kuhusu mada hii.

Ingia ili kuuliza

Majadiliano

Hakuna maswali bado

Ingia ili kuuliza
Inapakia majadiliano…